Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

10 Julai 2020

10 Julai 2020

Pakua

Hii leo Ijumaa ni mada kwa kina tunakwenda Dodoma nchini Tanzania kuona jinsi Restless Development wamesaidia kuinua uelewa wa vijana kuhusu afya ya uzazi, kuelekea siku ya watu duniain kesho Julai 11, 2020 inayomulika miaka 25 tangu azimio la Cairo. Neno la wiki leo kwenye kujifunza Kiswahili tunaye Aida Mutenyo kutoka Uganda na methali Enga kabla ya Kujenga, lakini pia kuna habari ya ufupi kubwa zaidi ni Bosnia na Herzegovina. Mwenyeji wako ni Flora Nducha, karibu.

Audio Duration
11'58"