05 Mei 2020
Pakua
Hii leo kwenye jarida la Umoja wa Mataifa ikiwa ni siku ya Wauguzi na wakunga na pia siku ya Kunawa mikono tumeandaa habari mbalimbali kama vile:
- Wakunga Tanzania kushukuru UNFPA kwa msaada wa kuendeleza huduma za wakunga
-Katika kuadhimisha siku ya usafi wa mikono hii leo shirika la afya la Umoja wa Mataifa WHO linawachagiza watu kote duniani kuongeza juhudi za kuhakikisha usafi wa mikono katika vituo vya afya ili kuwalinda wahudumu wa afya na wagonjwa dhidi ya maambukizi.
-Watoto milioni 19 duniani kote walikuwa wakimbizi wa ndani mwaka 2019
-Katika makala yetu leo tutaangazia umuhimu wa wananchi kupata huduma za wakunga na wauguzi.
-Kwenye mashinani tutamsiliza Jaffar Mtavi, mkunga mtaalamu nchini Tanzania
Audio Credit
UN News/Flora Nducha
Audio Duration
12'28"