Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mwanamke aliye na uleamvu wa kutoona aeleza madhila vitani, DRC – Sehemu ya 2

Mwanamke aliye na uleamvu wa kutoona aeleza madhila vitani, DRC – Sehemu ya 2

Pakua

Karibu kwenye sehemu ya pili ya makala kuhusu madhila anayekumbana nayo mwanamke aliye na uleamvu wa kutoona kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo baada ya kunusurika vita ingawa alimpoteza mumewe aliyekuwa akimkumbatia kabla ya vita vilivyomlazimisha kuvuka mpaka na kuingia Uganda.

Je, maisha yalikuwaje kipofu katika kambi ya wakimbizi? Je, ni msaada gani anaoutaka kusukuma maisha na ulemavu huo uuzeeni na ukimbizini.

Basi ungana na John Kibego aliyemtembelea katika kambi ya wakimbizi ya Kyangwali.

(Makala ya John Kibego)

Audio Credit
Assumpta Massoi/John Kibego
Audio Duration
3'9"
Photo Credit
UN News/ John Kibego