Wakunga wa jadi bado wana mchango mkubwa hususan nchini Tanzania
Pakua
Katika makala ya wiki hii tutakuwa mkoani Kagera nchini Tanzania tukiendelea na mfululizo wa makala kuhusu wauguzi na wakunga na hii leo tukiangazia mkunga wa jadi ambapo Nicolaus Ngaiza wa redio washirika Kasibante FM amevinjari na mkunga wa jadi wilayani Bukoba mkoa wa Kagera nchini Tanzania.
Audio Credit
Flora Nducha/ Nicolaus Ngaiza
Audio Duration
5'37"