Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mabadiliko ya tabianchi yametuathiri sana watoa tiba za asili- Mugisha John

Mabadiliko ya tabianchi yametuathiri sana watoa tiba za asili- Mugisha John

Pakua

Wakati tukiwa tumeingia katika muongo wa ukamilishaji wa malengo 17 ya maendeleo endelevu, dunia inahaha kupambana na mabadiliko ya tabianchi ambayo yanaiweka sayari dunia katika hatari ya kukumbwa na majanga mbalimbali. Uharibifu wa mazingira si tu unaathiri moja kwa moja hali ya hewa kama vile ukame, upepo mkali na majanga mengine, pia kupitia makala hii iliyoandaliwa na Tumaini Anatory wa redio washirika Karagwe FM ya mkoani Kagera, mtaalamu wa tiba asilia Mugisha John wa Kayanga Karagwe anaeleza namna mabadiliko ya tabianchi yalivyoathiri kazi yao ya utafutaji wa tiba za mitishamba.

Audio Credit
UN News
Audio Duration
3'26"
Photo Credit
UN Environment/Hannah McNeish