UNAIDS yasema afya bora si haki ya matajiri pekee, bali kila mtu. 21 Januari 2020 Habari kwa Ujumla Pakua Shirika la Umoja wa Mataifa la kutokomeza Ukimwi, UNAIDS linatoa wito kwa serikali kuhakikisha kuwa haki ya afya kwa wote inazingatiwa kwa kupatia kipaumbele uwekezaji wa umma katika sekta ya afya. Audio Credit Anold Kayanda Sauti 1'25" Photo Credit World Bank/Binyam Teshome unaids afya umaskini Huduma muhimu za afya