Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Nchini Nigeria tamthilia iliyofadhiliwa na WFP, yalenga kuzua gumzo kuhusu mzozo

Nchini Nigeria tamthilia iliyofadhiliwa na WFP, yalenga kuzua gumzo kuhusu mzozo

Pakua

Mwisho wa mwezi Desemba na Januari wapenda sanaa nchini Nigeria watashuhudia sanaa ya tamthilia kwa jina Bintu iliyotungwa na kuandaliwa kwa ufadhili wa Shirika la mpango wa chakula duniani, WFP na ukumbi wa maonyesho wa Mosaic. 

Audio Credit
UN News/John Kibego
Audio Duration
1'49"
Photo Credit
WFP/Jean-Fidele Ebenezer