Nchini Nigeria tamthilia iliyofadhiliwa na WFP, yalenga kuzua gumzo kuhusu mzozo 20 Disemba 2019 Habari kwa Ujumla Pakua Mwisho wa mwezi Desemba na Januari wapenda sanaa nchini Nigeria watashuhudia sanaa ya tamthilia kwa jina Bintu iliyotungwa na kuandaliwa kwa ufadhili wa Shirika la mpango wa chakula duniani, WFP na ukumbi wa maonyesho wa Mosaic. Audio Credit UN News/John Kibego Audio Duration 1'49" Photo Credit WFP/Jean-Fidele Ebenezer Nigeria Adamawa Yobe Bintu Borno