Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

UNICEF yasema watoto milioni 166 hawatambuliki kwa kutosajiliwa baada ya kuzaliwa.

UNICEF yasema watoto milioni 166 hawatambuliki kwa kutosajiliwa baada ya kuzaliwa.

Pakua

Ripoti mpya iliyotolewa leo na shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia Watoto UNICEF, inasema kushindwa kuwasajili watoto wachanga pindi wanapozaliwa kumesababisha kuwaacha mamilioni ya watoto bila kutambulika.

Audio Credit
UN News/Anold Kayanda
Audio Duration
1'27"
Photo Credit
UNICEF/Frank Dejongh