UNICEF yasema watoto milioni 166 hawatambuliki kwa kutosajiliwa baada ya kuzaliwa. 11 Disemba 2019 Habari kwa Ujumla Pakua Ripoti mpya iliyotolewa leo na shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia Watoto UNICEF, inasema kushindwa kuwasajili watoto wachanga pindi wanapozaliwa kumesababisha kuwaacha mamilioni ya watoto bila kutambulika. Audio Credit UN News/Anold Kayanda Audio Duration 1'27" Photo Credit UNICEF/Frank Dejongh watoto usajili wa vizazi