Nchini Tanzania UN yatekeleza kwa vitendo uwezeshaji vijana
Pakua
Kauli ya Umoja wa Mataifa ya kuhakikisha kuwa vijana wanajengewa uwezo ili washiriki kikamilifu katika kufanikisha maendeleo endelevu, SDGs imeendelea kutekelezwa maeneo mbambali ambapo nchini Tanzania vijana takriban 50 kutoka wilaya ya Temeke jijini Dar es salaam, wamepokea mafunzo kwa ajili ya kuimarisha stadi zao za ujasiriamali.
Audio Credit
Stella Vuzo
Audio Duration
1'31"