Uchumi wa Afrika unasuasua: Benki ya Dunia
Pakua
Katika ripoti iliyotolewa hivi karibuni, Benki ya Dunia imesema ukuaji wa uchumi kusini mwa jangwa la Sahara umepungua mwaka 2019 kufuatia kutotabirika kwa hali ya kiuchumi duniani na kasi ndogo ya mabadiliko ndani ya nchi.
Audio Credit
UN News/John Kibego
Audio Duration
1'25"