Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Kenya tunasonga ingawa bado tuko mbali, asema Rais Uhuru Kenyatta

Kenya tunasonga ingawa bado tuko mbali, asema Rais Uhuru Kenyatta

Pakua

Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya amesema nchi yake inajitahidi katika utekelezaji wa malengo ya maendeleo endelevu na imepiga hatua ingawa bado kuna safari ndefu.

Audio Credit
Grace Kaneiya
Audio Duration
2'4"
Photo Credit
UN/Cia Pak