Kenya tunasonga ingawa bado tuko mbali, asema Rais Uhuru Kenyatta
Pakua
Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya amesema nchi yake inajitahidi katika utekelezaji wa malengo ya maendeleo endelevu na imepiga hatua ingawa bado kuna safari ndefu.
Audio Credit
Grace Kaneiya
Audio Duration
2'4"