Azimio la kisiasa lapitishwa kuchochea afya kwa wote ifikapo mwaka 2030
Pakua
Viongozi wa dunia leo wamepitisha azimio la kisiasa lenye lengo la kuhakikisha afya kwa wote ifikapo mwaka 2030.
Audio Credit
Flora Nducha
Audio Duration
1'32"