Mizozo na hali mbaya ya hewa imesababisha nchi 41 kuhitaji msaada wa chakula 19 Septemba 2019 Habari kwa Ujumla Pakua Shirika la chakula na kilimo duniani, FAO limesema takribani mataifa 41 yanaendelea kuhitaji msaada wa chakula kutoka nje, sababu kuu ikiwa ni mizozo na hali mbaya ya hewa. Audio Credit Arnold Kayanda/ Flora Nducha Audio Duration 2'14" Photo Credit ILO/Marcel Crozet FAO njaa