Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Kaunti ya Makueni nchini Kenya tumeweka mikakati mingi kumkomboa mwanamke-Mwau

Kaunti ya Makueni nchini Kenya tumeweka mikakati mingi kumkomboa mwanamke-Mwau

Pakua

Mwanamke mashinani anakabiliwa na changamoto mbalimbali iwe ni masuala ya afya, maji au hata ukiukwaji wa haki zake. Kwa kutambua changamoto ambazo zinawakabili wanawake na katika juhudi za kufanikisha lengo namba tano la malengo ya maendeleo endelevu SDGs ifikapo mwaka 2030, serikali ya kaunti ya Makueni mashariki mwa Kenya imeweka mikakati mbali mbali ili kufanikisha ustawi wa mwanamke, katika makala hii, Grace Kaneiya amezungumza na Adelina Mwau, Naibu gavana wa kaunti ya Makueni ambaye amemwelezea yale wanayoyafanya kumuinua mwanamke, ungana nao.

Soundcloud
Audio Credit
Arnold Kayanda/ Grace Kaneiya/ Adelina Mwau
Audio Duration
3'14"