Tutaendelea kushirikiana na serikali kusaidia waathirika wa vimbunga Msumbiji-IOM
Pakua
Mkurugenzi Mkuu wa shirika la Umoja wa Mataifa la uhamiaji duniani, IOM António Vitorino hii leo amehitimisha ziara yake ya siku mbili nchini Msumbiji ambako ametathmini na kuunga mkono juhudi za msaada wa kibinadamu kufuatia vimbunga viwili vilivyopiga taifa hilo la kusini mwa Afrika mwezi Machi na Aprili mwaka huu na kuathiri watu milioni 1.8 bila kusahau vifo vya mamia ya watu.
Audio Credit
Grace Kaneiya/ Jason Nyakundi
Audio Duration
1'34"