Raia 90 wameuawa na wengine zaidi ya 200 wamejeruhiwa kwenye mji wa Muruzq-OCHA
Pakua
Takribani raia 90 wameuawa na wengine zaidi ya 200 wamejeruhiwa tangu kuongezeka kwa uhasama kati ya pande kinzani kuanzia mwezi huu kwenye mji wa Muruzq ulioko kusini-magharibi nchini Libya. Ripoti zinaongeza kuwa katika kipindi hicho watu 9,450 wamekimbia makazi yao kutokana na mapigano hayo.
Audio Credit
Grace Kaneiya/ Assumpta Massoi
Audio Duration
2'11"