Tuokoe kwanza watoto waliokwama Mediterranea, ndipo siasa zifuate:UNICEF 15 Agosti 2019 Habari kwa Ujumla Pakua Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto, UNICEF limesema linasikitishwa kwamba kwa mara nyingine siasa zimepewa kipaumbele badala ya kuokoa maisha ya watoto ambao wamekwama kwenye bahari ya Mediterranea. Audio Credit UN News/Flora Nducha Audio Duration 1'56" Photo Credit Italian Coastguard/Massimo Sestini UNICEF Bahari ya Mediterranea Muungano wa Ulaya EU