Mahakama ya ICC yamtia hatiani Ntaganda wa DRC kwa uhalifu wa vita
Pakua
Mahakama ya kimataifa ya uhalifu ICC leo imemtia hatiani kiongozi wa zamani wa waasi John Bosco Ntaganda kwa makosa ya uhalifu wa kivita na uhalifu dhidi ya binaadamu nchini Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC.
Audio Credit
Flora Nducha/ Grace Kaneiya
Sauti
2'22"