Kutoweka kwa bayoanuai ni zahma kwa uhakika wa chakula:FAO
Pakua
Shirika la chakula na kilimo FAO limeonya kwamba kuendelea kutoweka kwa bayoanuai ambayo ni muhimu kwa uzalishaji wa chakula duniani kutaleta zahma kubwa hasa ya uhakika wa chakula, likitaka hatua mbalimbali zichukuliwe kuhakikisha bayoanuai inalindwa.
Audio Credit
UN/News/Flora Nducha
Audio Duration
1'52"