Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Bayo-anuai

UNDP/Ya'axche

Tusipolinda bayoanuai tunajiangamiza wenyewe:CBD

Tatizo la kutoweka kwa bayoanuai ambayo ni muhimili mkuu wa maisha ya dunia na viumbe vilivyomo linaongezeka kila uchao na mlaumiwa mkubwa ni binadamu na shughuli zake za kila siku. Mwishoni mwa wiki Dunia ikiadhimisha siku ya kimataifa ya bayoanuai iliyobeba kaulimbiu  “sisi ni sehemu ya suluhu”  Umoja wa Mataifa umetoa rai kwa kila mtu kuwajibika kuilinda bayoanuai ambayo hakuna atakayesalimika bila hiyo .

Sauti
9'5"
Wanafunzi wakimwagilia mimea maji kwenye shule ya msingi Laos.
© FAO/Manan Vatsyayana

Bioanuwai ya udongo ina umuhimu mkubwa lakini mchango wake haujapewa uzito unaostahili-FAO 

Katika kuelekea siku ya udongo duniani hapo kesho Desemba 5 shirika la chakula na kilimo la Umoja wa Mataifa FAO limesema bayonuai ya udongo ina jukumu muhimu la kuchagia katika uzalishaji wa chakula , kuimarisha lishe, kulinda afya ya binadamu, kupunguza uchafuzi wa mazingira na kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi , lakini mchango wake mara nyingi haupewi uzito unaostahili. 

05 JUNE 2020

Jaridani la Umoja wa Maitafa leo ikiwa Ijumaa ni mada kwa kina ambapo tutamulika athari za gonjwa la virusi vya Corona katika kulinda wanyama walio hatarini kutoweka.
- Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa asema tubadili tabia tulinde mazingira kwani muda unayoyoma
-  Ofisi ya haki za binadamu ya Umoja wa Mataifa leo imesema takribani watu 1,300 ambao ni raia wameuawa katika matukio tofauti nchini DRC. 
- Na shirika la Uhamiaji la Umoja wa Mataifa, IOM limesaidia raia 179 wa Mali waliokuwa wamekwama Niger.
Sauti
9'57"