Ethiopia inafanya juhudi kubwa kusaidia wakimbizi:Grandi 14 Februari 2019 Habari kwa Ujumla Pakua Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi UNHCR limeipongeza serikali ya Ethiopia kwa juhudi zake na mbinu za kuwasaidia wakimbizi zaidi la 900,000 lakini vilevile kwa kuwa wazi kuhusu hali ya wakimbizi na msaada wanaouhitaji. Audio Credit UN News/Amina Hassan Audio Duration 1'57" Photo Credit OCHA/Charlotte Cans UNHCR Ethiopia wakimbizi GCR Melkadida