Tunatunza lugha yetu kwa kuwa inatusaidia- Wamaasai
Pakua
Miongoni mwa lugha za asili ambazo zinaelezwa kuhifadhiwa kizazi na kizazi ni lugha ya kimasai ambayo watumiaji wameelezea jinsi wanavyoitumia kuhamishia maarifa si tu ya kisasa bali pia ya kijadi.
Audio Credit
Priscilla Lecomte/ Alais Esoto
Audio Duration
1'51"