11 Machi 2020
UN yachukua hatua madhubiti kudhibiti COVID 19. Mataifa lazima yafundishe watoto wa kiasili na wale wa jamii za wachache kwa lugha yao wenyewe asema mtaalam wa UN. Usiache mila na deturi zikazima ndoto zako ashauri Mama mwendesha Bodaboda Palagie Gerald.