Balozi Mero asema ushirika wa mataifa ya kusini ni ufunguo wa maendeleo
Pakua
Mkutano wa ushirikiano baina ya nchi zinazoendelea au nchi za kusini ukiendelea katika makao makuu ya Umoja wa Mataifa, jijini New York, Marekani, Tanzania imesema kuwa ushirikiano huo umekuwa na manufaa sana hasa misaada ya maendeleo isiyo na masharti ya kupindukia licha ya kupigwa vita na baadhi ya watu
Audio Credit
Siraj Kalyango
Audio Duration
2'5"