Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Nchi zinatakiwa kubadili sheria zao ili kwenda sawa na mbinu za sasa za utumwa na utwana.

Nchi zinatakiwa kubadili sheria zao ili kwenda sawa na mbinu za sasa za utumwa na utwana.

Pakua

Ibara ya 4 ya tamko la haki za binadamu la Umoja wa Mataifa linalotimiza miaka 70 mwaka huu wa 2018, inaeleza kinagaubaga kuwa hakuna mtu anayestahili kugeuzwa mtumwa na wala kuwa mtwana wa mtu yeyote. Na ingawa kwa miaka mingi nchi wanachama wa Umoja wa Mataifa zimeridhia na pia kutunga sheria za kuunga mkono ibara hii, mabadiliko ya namna utumwa na utwana unavyotafsiriwa yaneziacha nyuma sheria nyingi. Wakili Jebra Kambole wa Tanzania katika mazungumzo haya na Arnold Kayanda, anasema kuna haja ya jumuiya ya kimataifa kulitizamasuala hili kwa namna mpya.

Audio Credit
Anold Kayanda
Audio Duration
2'51"
Photo Credit
Bado kuna wanawake zaidi ya milioni 11 katika utumwa duniani kote. Picha: ILO