Methali: Kizuri hakikosi ila
Pakua
Katika NENO LA WIKI hii leo mchambuzi wetu Ken Walibora, mwanariwaya na mwanachama wa Chama Cha Kiswahili cha Kitaifa nchini Kenya, CHAKITA anachambua methali Kizuri hakikosi ila. Walibora anasema katika jamii yoyote ile hata kama mtu awe mzuri namna gani lazima ana kasoro na ndipo matumizi ya neno ila.
Audio Credit
Flora Nducha/Ken Walibora
Audio Duration
58"