Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Methali: Kizuri hakikosi ila

Methali: Kizuri hakikosi ila

Pakua

Katika NENO LA WIKI hii leo mchambuzi wetu Ken Walibora, mwanariwaya na mwanachama wa Chama Cha Kiswahili cha Kitaifa nchini Kenya, CHAKITA anachambua methali Kizuri hakikosi ila. Walibora anasema katika jamii yoyote ile hata kama mtu awe mzuri namna gani lazima ana kasoro na ndipo matumizi ya neno ila.

Audio Credit
Flora Nducha/Ken Walibora
Audio Duration
58"
Photo Credit
UN News Kiswahili