Siku ya UN, wakimbizi Uganda wapaza sauti
Pakua
Ikiwa leo ni siku ya Umoja wa Mataifa, makundi mbalimbali yamezungumzia kile ambacho chombo hicho kinawasaidia katika zama za sasa zilizogubikwa na changamoto lukuki. Umoja wa Mataifa wenye wanachama 193 unahakikisha kuwa rasilimali kidogo iliyopo inatumika kuleta maisha bora hata kwa watoto na vijana wakimbizi ambao kwao maisha ni machungu na hivyo wamekimbilia ugenini. Mfano ni nchini Uganda ambako katika siku hii ya Umoja wa Mataifa, John Kibego amevinjari na kuzungumza nao.
Audio Credit
Assumpta MAssoi/John Kibego
Audio Duration
3'23"