Ikiwa umelema viungo haujalemaa akili.
Pakua
Kuwa na ulemavu wa aina yoyote ile hakumaanishi umelemaa akili na watu wenye ulemavu wana uwezo mkubwa na mchango katika jamii kama walivyo watu wengine wasio na ulemavu amesema mmoja wa Madaktari kutoka jamii ya Wamaasai ya Narok nchini Kenya
Audio Credit
Flora Nducha
Audio Duration
1'54"