Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

UN yataka ulinzi kwa wapalestina

UN yataka ulinzi kwa wapalestina

Pakua

Wanachama wa Umoja wa Mataifa wamepitisha azimio la kutaka ulinzi kwa raia wa Palestina.

Wajumbe wa Baraza Kuu la umoja huo wamepitisha azimio hilo kwa kura 120 huku kura 8 zikisema hapana na wajumbe 45 hawakupiga kura.

Audio Credit
Siraj Kalyango
Audio Duration
2'57"
Photo Credit
Picha ya OCHA oPt