Skip to main content

Chuja:

rasimu

Mkutano wa 47 wa kikao cha 73 cha baraza kuu la Umoja wa Mataifa kuhusu mashariki ya Kati.
UN Photo/Loey Felipe

Rasimu ya azimio la Marekani dhidi ya Hamas yagonga mwamba Baraza Kuu

Rasimu ya azimio lililowasilishwa na Marekani dhidi ya kundi la Hamas kwenye Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa imegonga mwamba hii leo baada ya kutopata kura za kutosha kutoka kwa wajumbe. Rasimu hiyo iliyojadiliwa na nchi wanachama wa Umoja wa Mataifa mjini New York Marekani ni ya kulikosoa  kundi la Hamas kwa  kuvurumisha maroketi hadi Israel kutokea Ukanda wa Gaza.