Furahia ya leo kwani ya kesho ajuaye mola
Pakua
Maisha yana kupanda na kushuka! Ni maneno ya wahenga wakimaanisha kuwa mara nyingine maisha yanakuwa mazuri na baadaye kutwama. Hivyo ndivyo ilivyokuwa mwa Tareq Sweidan, raia wa Syria ambaye sasa anaishi ukimbizini nchini Misri! Umaarufu ulimporomoka, kisa? Vita nchini mwao. Je sasa hali iko vipi? Selina Jerobon katika Makala hii anamfuatilia Tareq.
Audio Credit
Selina Jerobon
Audio Duration
3'40"