Kubiš alaani vikali shambulio la bomu Tuz Khurmatu Iraq:
Mwakilishi maalumu wa Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa nchini Iraq Ján Kubiš, amelaani vikali shambulio la bomu lililotegwa kwenye gari Jumanne mjini Tuz Khurmatu, jimbo la Salah El Din ambapo watu kadhaa wameuawa na wengine wengi kujeruhiwa.