Mkutano wa kuomba msaada kwa ajili ya pembe ya Afrika kufanyika Addis Ababa
Mkutano wa Kimataifa ulioandaliwa na Umoja wa Afrika kwa ajili ya kuomba msaada wa kukabiliana na matatizo yanayoikabili pembe ya Afrika hivi sasa utafanyika kesho Alhamisi mjini Addis Ababa Ethiopia.