Dr wa Hospitali ya Panzi DR Congo ataka ushirikiano zaidi na UM
Dr Denis Mukwege, mkuu wa hospitali ya Panzi mjini Bukavu iliyoko Kivu ya Kusini Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo amekutana na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-moon na kumuelezea nia ya ushirikiano baina ya hospitali yake, Umoja wa mataifa na mpango wa Umoja wa Mataifa nchini