Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

UM inakhofia homa ya Ebola imeibuka tena katika JKK

UM inakhofia homa ya Ebola imeibuka tena katika JKK

Maradhi yanayotiliwa shaka kuwa ni ya homa ya Ebola, yameripotiwa kuibuka katika JKK, kwenye jimbo la Occidental Kasai, na kuuwa watu tisa kufuatia maambukizo ya wagonjwa 92.