Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mtaalamu wa Haki za Binadamu anahimiza nchi maskini zisamehewe madeni

Mtaalamu wa Haki za Binadamu anahimiza nchi maskini zisamehewe madeni

Dktr Cephas Lumina, Mtaalamu Maalumu wa UM juu ya Haki za Binadamu juu ya athari za madeni kwa ustawi wa uchumi wa nchi zinazoendelea alinakiliwa kwenye ripoti alioitoa kabla ya Mkutano wa Doha, utakaofanyika katika siku za karibuni, ya kwamba Nchi Wanachama zitakazohudhuria kikao hicho zitalazimika kukamilisha juhudi za pamoja za kupunguza mzigo huo wa madeni.~~