Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Wapatanishi wa Kimataifa kwa Darfur wazuru Sudan kufufua mazungumzo ya amani

Wapatanishi wa Kimataifa kwa Darfur wazuru Sudan kufufua mazungumzo ya amani

Wajumbe Maalumu wa Kimataifa kwa Darfur, yaani Salim Ahmed Salim wa Umoja wa Afrika na Jan Eliasson wa Umoja wa Mataifa wiki hii wapo Sudan wakijaribu kufufua, kwa kasi mpya, mazungumzo ya amani ambayo hivi karibuni yalionekana kupwelewa.