Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa limeitisha Mkutano wa Hadhi ya Juu kuzingatia misaada ya maendeleo kwa LDCs.

Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa limeitisha Mkutano wa Hadhi ya Juu kuzingatia misaada ya maendeleo kwa LDCs.

Mapema wiki hii kulifanyika kikao maalumu cha siku mbili katika Baraza Kuu kuzingatia juhudi za kupunguza umaskini na ufukara katika yale mataifa yenye uchumi mdogo kabisa, ambayo pia hujulikana kama mataifa ya LDCs. Wawakilishi wa kimataifa walikutana kwenye mjadala uliofanya mapitio ya ule Mpango wa Utendaji wa Brussels wa 2001.~~