18 Agosti 2006
Kama tunavyojua mkutano mkuu wa UM wa kumi na sita juu ya UKIMWI ulifanyika hivi karibuni katika mji wa Toronto, Kanada kuanzia tarehe 13 hadi 18 Agosti na kujumuisha wajumbe kadha kutoka pembe mbalimbali za kimataifa.
Kama tunavyojua mkutano mkuu wa UM wa kumi na sita juu ya UKIMWI ulifanyika hivi karibuni katika mji wa Toronto, Kanada kuanzia tarehe 13 hadi 18 Agosti na kujumuisha wajumbe kadha kutoka pembe mbalimbali za kimataifa.