Waganda wapaza sauti baada ya intaneti kurejeshwa
Pakua
Nchini Uganda kuelekea uchaguzi mkuu wa rais na wabunge wiki iliyopita, mamlaka ziliamuru kuzimwa kwa mtandao wa intaneti na baadaye huduma hiyo ilirejeshwa tarehe 18 mwezi huu wa Januari na matokeo ya uchaguzi kutangazwa. Baadhi ya wananchi walikuwa na mtazamo tofauti kuhusu hatua hiyo ambapo mwandishi wetu wa Uganda, John Kibego alivinjari kuzungumza nao kufahamu mitizamo hiyo baada ya huduma kurejea na ndipo akaandaa makala hii.
Audio Credit
Assumpta Massoi/John Kibego
Audio Duration
2'42"