Hii ni dunia yetu na hii ni siku yetu-Watoto
Pakua
Leo ni siku ya watoto duniani maudhui yakiwa "kutafakari dunia bora kwa kila mtoto", na watoto kutoka kila kona ya dunia kupitia shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto UNICEF, wameandika shairi kufikisha ujumbe muhimu kwa viongozi wa dunia hii, wazazi na jamii wakitaka sauti zao zisikike na hatua zichukuliwe kulinda kizazi hiki na vijavyo.
Audio Credit
Assumpta Massoi/ Jason Nyakundi
Audio Duration
1'58"