Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Peter Njenga: Mchezo wa riadha watumika kukaribisha wageni wa mkutano Kenya

Peter Njenga: Mchezo wa riadha watumika kukaribisha wageni wa mkutano Kenya

Pakua

Siku ya kwanza ya mkutano huo wa Umoja wa Mataifa wa mashirika ya kiraia, UNCSC ilitanguliwa na mbio za kukaribisha wageni kwenye jiji la Nairobi, nchini Kenya ambapo Peter Njenga anayehusika na michezo ya riadha katika Kaunti ya Nairobi anaelezea umuhimu wa mbio hizo walizoandaa kwa ushirikiano na waandaji wa mkutano huo.

Bwana Njenga akaoanisha michezo na amani.

Audio Credit
Flora Nducha
Audio Duration
1'24"
Photo Credit
UN News