Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Jifunze Kiswahili: Tofauti ya maneno “Adhuhuri na Alasiri.”

Jifunze Kiswahili: Tofauti ya maneno “Adhuhuri na Alasiri.”

Pakua

Katika kujifunza lugha ya Kiswahili, mchambuzi wetu Dkt. Josephat Gitonga, kutoka Kenya ambaye ni mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Nairobi kwenye kitivo cha tafsiri na ukalimani anatufafanulia tofauti ya “Adhuhuri na Alasiri.”

Audio Credit
Dkt. Josephat Gitonga
Sauti
1'11"
Photo Credit
Habari za UN