Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Kituo cha afya cha Mtofaani kwa hisani ya Milele Zanzibar Foundation utekelezaji wa SDG 3

Kituo cha afya cha Mtofaani kwa hisani ya Milele Zanzibar Foundation utekelezaji wa SDG 3

Pakua

Shirika lisilo la kiserikali la Milele Zanzibar Foundation la Zanzibar Tanzania ambalo limejipambanua kujikita na utekelezaji wa malengo 12 kati ya malengo 17 ya Umoja wa Mataifa ya Maendeleo Endelevu, limetekeleza lengo namba 3 la Afya Bora na Ustawi kwa kujenga kituo cha afya katika Shehia ya Michikichini, Unguja. Hamad Rashid wa redio washirika wetu Mviwata FM ya Morogoro - Tanzania amefika visiwani humo na kutuandalia makala hii.

Audio Credit
Leah Mushi/Hamad Rashid
Audio Duration
4'25"
Photo Credit
UN News