Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

09 NOVEMBA 2023

09 NOVEMBA 2023

Pakua

Hii leo Jaridani Evarist Mapesa anakuletea mada kwa akina inayoangazia kazi za majumbani na utasikia kisa cha mtoto wa miaka 11 kutoka nchini Tanzania ambaye akiwa na miaka 10 alikuwa akitumikishwa pamoja na madhila mengine aliyokumbana nayo. 

Pia utasikia habari kwa ufupi zikiangazia masuala ya kibinadamu kwa wananchi wa Gaza na masuala ya mazingira. 

Na leo katika kujifunza Kiswahili utasikia ufafananuzi wa methali Umekuwa bata akili kwa watoto. 

Msomaji wako ni Leah Mushi.

Audio Credit
Leah Mushi
Audio Duration
11'36"