Jifunze Kiswahili - "KUMBITI"
Pakua
Katika jifunze Kiswahili hii leo tunabisha hodi kwenye Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania BAKITA Je wajua maana ya neno “KUMBITI”?
Onni Sigalla, Mhariri mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania , BAKITA anafafanua.
Sauti
47"