Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Amani ikitawala kutakuwa na matokeo chanya katika hatua za kufikia SDGs - Lawrence

Amani ikitawala kutakuwa na matokeo chanya katika hatua za kufikia SDGs - Lawrence

Pakua

Lawrence Oluwaseun Adeniyi, raia wa Nigeria anayefanya shughuli zake Houston Marekani amewakilisha taasisi hii ya International Association of World Peace Advocates (IAWPA) inayojitambulisha kwa kazi kuu mbili ambazo ni Utetezi wa Amani na Kuhakikisha Maendeleo Endelevu. Je analoondoka nalo kwenye Jukwaa hili ni lipi? Karibu!

Audio Credit
Anold Kayanda
Audio Duration
2'45"
Photo Credit
UN News