Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Viwavi jeshi vimerejea Afrika Mashariki, FAO kusaidia kuvikabili

Viwavi jeshi vimerejea Afrika Mashariki, FAO kusaidia kuvikabili

Pakua

Shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula na Kilimo FAO, limetahadharisha kuwa viwavijeshi ambavyo vimeripotiwa kuonekana kwenye mbuga na hifadhi za wanyama nchini Kenya vimerejea.Wadudu hao pia wameonekana kwenye mataifaJirani ya Eritrea, Sudan Kusini,Ethiopia, Somalia na Uganda. Ifahamike kuwa mwaka 2016 viwavijeshi vilionekana kwenye mataifa 6 pekee barani Afrika.Viwavijeshi vina uwezo wa kuvamia na kukomba mazao ya mahindi, ngano, mtama, shayiri na nyasi. Kwa undani zaidi wa juhudi hizo ungana na mwandishi wetu wa Kenya Thelma Mwadzaya katika Makala hii.

Audio Credit
Anold Kayanda / Thelma Mwadzaya
Audio Duration
3'48"
Photo Credit
UN News / Thelma Mwadzaya