Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Methali: Aanguae huanguliwa

Methali: Aanguae huanguliwa

Pakua

Katika kujifunza lugha ya Kiswahili, mchambuzi wetu Dkt. Josephat Gitonga, kutoka Kenya ambaye ni mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Nairobi kwenye kitivo cha tafsiri na ukalimani anatufafanulia methali isemayo “Aanguae huanguliwa.”

Audio Credit
Dkt. Josephat Gitonga
Audio Duration
1'10"
Photo Credit
Habari za UN