27 FEBRUARI 2023
Pakua
Hii leo katika jarida la UN Anold Kayanda anamulika:
- Mkutano wa kimataifa wa kuchangisha fedha kwa ajili ya Yemen unaofanyika Geneva, USwisi
- Nchini Kenya mradi wa ILO wajengea wanawake wa kimasai uwezo wa kushiriki shughuli za kiuchumi na kijamii na sasa wanaweza sio tu kusoma bali pia ni wajasiriamali.
- Makala anakupeleka nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati, CAR huko walinda amani wa Umoja wa Mataifa kutoka Tanzania wafundisha wakulima matumizi ya jembe la mkono kwenye kilimo badala ya panga.
- Mashinani Dkt. Dorothy Gwajima, Waziri nchini Tanzania na ujumbe wake kwa wazazi kuhusu malezi sahihi kwa watoto.
Karibu!
Audio Credit
ANOLD KAYANDA
Audio Duration
12'52"